Skip to main content

Big Fizzo - Baridi Lyrics

 

Big Fizzo - Baridi Lyrics

Baridi 


Oh baby why 

Why uko mbali na mi 

Why you don’t pick up my phone 

Ooh my baby 

Oh baby why , why tell me why 

Ao umepata mwingine , hmmm

Ooh baby

Penzi nalikoleza 

Wewe unalichombeza , na unaona sawa 

Tamu nakupeleka 

Bidu bidu mchuzi wa pweza 

Ao labda una tamaa 


Baridi baridi 

Oh mi nasema baridi, baridi 

Mapenzi ya ugaidi ,gaidi 

No no no no non

Mbona baridi ,baridi 

Mapenzi ya ugaidi, gaidi 

Wenzangu wanafaidi .faidi 

Mon bébé ne me fais pas comme ça 


Nishalewa 

kwa penzi lako japo kama kichomi 

Mi Nishalewaga

Labda nahisi mi niwako hadi mbele sioni 

Nishalewa 

Baby nishakula kiapo na bado sikuoni 

Mi nishalewaga

Oh na na na na 


Right now nifanyeje , mi nifanyeje x2


Kama guitar nitapiga zaidi ya Santana ah 

Hiyo vita kwa baridi nitapambana 

Umenifanya kwako nisitokee 

Ukanitoaga na mawenge 

Ili mradi tu huruma baby, my baby 

You take my mind faraway , far , faraway 

Penzi tamu, sweet chocolate yeah  

Hey 


Baridi, baridi 

Oh mi nasema baridi, baridi 

Mapenzi ya ugaidi ,gaidi 

No no no 

Mbona baridi, baridi 

Mapenzi ya ugaidi ,gaidi 

Wenzangu wanafaidi, faidi 

Mon bébé ne me fais pas comme ça 


Nishalewa 

kwa penzi lako japo kama kichomi 

Mi Nishalewaga

Labda nahisi mi niwako hadi mbele sioni 

Nishalewa 

Baby nishakula kiapo na bado sikuoni 

Mi nishalewaga

Oh na na na na 


Right now nifanyeje , mi nifanyeje x2

Comments